KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 18, 2014

MABANGO YA KUELIMISHA UKIMWI YAZINDULIWA JIJINI

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgZPNEgE_6tpVdJKbK1TjUuyy30zzXJTAjmbhOcAmfNnJoKDtfApiUQCneBsP9qpJ-q5n1mOFuQZzuRNsoaedvbd4Hql8_iu-ERPC90dsOcXvYngiHiwfxeGHfKsjBNF-XguyWkSkWP9_8/s1600/tayo1.JPG
Kamishna wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Daniel Machemba (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mabango ya kuelimisha Ukimwi na masuala mbalimbali ya kuwajengea uwezo vijana yatakayosambazwa katika vyuo vikuu mbalimbali nchini na Shirika la Vijana (TAYOA). Anayefuata ni Kamishna Diana Chilolo, Mkurugenzi wa TAYOA Peter Masika, na wakwanza kulia ni Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Emmanuel Mushi na Kamishna wa TACAIDS Faraja Kotta Nyalandu
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghF6njeVQ_1wxSabXcsgGZMytxnoc7HYf5xypeivZtzFhhwNaAJ8QE2ZBjga00cNwH-32gXrX4rMPSliYb0kBL7B8o68DO_rBM3wj1YpoARFHT59OKJTQy8wv43JDAaO-w_jIEIAnnURE/s1600/tayo3.JPG
Kamisha wa Tume ya Taifa ya kudhibiti Ukimwi Diana Chilolo, akimkabidhi zawadi Mhadhiri wa Chuo cha IFM Emmanuel Mushi (mbele), kwa chuo hicho kushirikiana na Shirika la Vijana TAYOA, katika mapambano dhidi ya Ukimwi. Pembeni ni Kamishna Faraja Kotta Nyalandu, Kamishna Daniel Machemba, na Mkurugenzi Mkazi wa TAYOA Peter Masika.

No comments:

Post a Comment