Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza wakati akifungua rasmi Mkutano wa 14 wa Wataalam wa Huduma
za Habari na Maktaba za Afya Afrika (AHILA), uliofanyika kwenye Ukumbi wa
Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 20,
2014.
Baadhi ya wadau wa mkutano huo,
wakimsikiliza Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati
akiwahutubia alipokuwa akifungua rasmi Mkutano wa 14 wa Wataalam wa
Huduma za Habari na Maktaba za Afya Afrika (AHILA).
Naibu Waziri wa Viwanda na
Biashara, Janeth Mbene, akizungumza kabla ya kumkaribisha Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi Tuzo, mshiriki wa mkutano huo kutoka Nchini Zimbabwe,
aliyepokea kwa niaba ya Gilchriste Ndongwe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akimkabidhi tuzo mshiriki wa mkutano huo kutoka nchini
Tanzania, Montea Chipungahelo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akimkabidhi tuzo mshiriki wa mkutano huo kutoka nchini Nigeria,
aliyepokea kwa niaba ya Samuel Bello.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Mkutano huo
baada ya ufunguzi rasmi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiagana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene na
baadhi ya Waratibu wa mkutano huo wakati akiondoka eneo hilo baada ya
kufungua rasmi mkutano huo leo . Picha na OMR
No comments:
Post a Comment