Bondia Shabani Kaoneka (kushoto) akipambana na Omari Bai wakati wa mazoezi yaliyofanyika shule ya uhuru uwanja wa mpira wa mikono yakisimamiwa na kocha Super D |
Bondia Shabani Kaoneka( kulia) akimtupia konde Obago Kamata wakati wa mazoezi yaliyofanyika shule
ya uhuru uwanja wa mpira wa mikono yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es
salaam jana
|
Bondia Obaga Kamata kushoto akipambana na Idrisa Mweta wakati wa mazoezi yaliyofanyika shule ya Uhuru picha na SUPER D BLOG |
No comments:
Post a Comment