KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 1, 2014

MTWARA WAFURAHIA KIVUKO KIPYA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOs1fzAb1T02Ighl5ElhCNHDYPnQASl-a-w1yX_BfInL4wFx7jtWQq8l_YzRl35Xsrc96CtoP0vl4hdAEDtEkNMWTpunBta3H_henu5XWkqzeOk1I9DIXiMXupRACmE0728KxP_j7gJK4/s1600/2.JPG
Kivuko kipya cha MV Mafanikio kama kinavyoonekana, ikiwa ni ahadi ya Serikali kuwapelekea kivuko hicho wakazi wa Mkoa wa Mtwara.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhF_uyz3dPCHzR-qV_VY-VPgAI-z_2wNmCl7u95drDzx4AMJA-y8hPqjvrPapb_oIeONWp1jpA5ca8dEOLFsDZA0Xi1tKqJw336Yuylr5SjlX524F9HSTL38_4EnUe8mR2SzlE1C5GVpF4/s1600/3.JPG
Wananchi wakikimbia kuingia katika kivuko kipya cha MV Mafanikio, wakifurahia kuwasili kwa kivuko hicho Mkoani Mtwara.

No comments:

Post a Comment