Polisi walisikika wakisema katika redio yao kuwa "kuna kijana ameshika bunduki anamuelekezea kila mtu sasa sijui ni mdoli au ni halisi,"
Aliyejibu alisikika akiuliza kuwa ni mweuzi au mzungu, walipofika polisi eneo la tukio walimuamuru kijana huyo kunyanyua mikono juu lakini aliendelea kuchezea mdoli wake ndipo polisi walipomfyatulia risasi mbili zilizomsababishia umauti.
No comments:
Post a Comment