KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 26, 2014

TUMUUNGE MKONO MREMBO WETU!

    Happiness Watimanywa (20) aliyekuwa Redds Miss Tanzania 2013 sasa yuko jijini London Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2014. 
Happiness ambaye kwa sasa anashikilia taji la Miss World Tanzania 2014 amesema ana kila sababu ya kurudisha taji nyumbani ikiwa watanzania watamuunga mkono kwa kusambaza video zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
"Hebu angalia uzuri wa taifa letu, amani, upendo na vivutio mbalimbali vya utalii. Hebu niangalie na mimi mwenyewe... tuna kila sababu ya kurudisha taji nyumbani." alisema Happiness Watimanywa
Shime shime watanzania, tumuunge mkono wa nyumbani kwa ku-retweet, ku-like na ku-share post zake mbalimbali kwa kutumia Hashtag #Happiness4MissWorld
HAPPYNESS WATIMANYWA (MISS TANZANIA 2013/2014) ANAHITAJI KURA YAKO KATIKA KINYANG’ANYIRO CHA MISS WORLD MPIGIE KURA MISS TANZANIA HAPPYNESS WATIMANYWA. BAADA YA KUDOWNLOAD APP YA MISS WORLD NENDA VOTE FOR YOUR TOP3 KISHA UMPIGIE MREMBO MWENYE SURA HIYO HAPO KWENYE PICHA KATIKA WATATU UTAKAO WAONA
DOWNLOAD APP YA  KUPIGA KURA  KATIKA LINK HII  HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment