Mwenyekiti
wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wa kwanza kulia Mhe. Antony
Bahame Nyanduga akimkaribisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Agentina
Balozi Eduardo Zuiain anayemfuatia Kulia.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Agentina Balozi Eduardo Zuiain akitia saini kitabu cha wageni ofisini kwa Mwenyekiti wa Tume.



No comments:
Post a Comment