WATU
watatu wamekufa papo hapo huku wengine 28 wakijeruhiwa baada ya basi la
Kampuni ya Super Feo walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Mbeya kwenda
Songea mkoani Ruvuma kupinduka na kutumbukia mtoni leo asubuhi.
Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Shamwenga, Kata ya Inyara mkoani Mbeya
No comments:
Post a Comment