CHEO NI DHAMANA: HALI ILIVYOKUWA JANA KABLA YA AKINA MRAMBA KWENDA JELA
VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu baada ya Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa
zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kuhukumiwa kifungo cha miaka
mitatu jela.
No comments:
Post a Comment