Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na
ujumbe wa Kampuni ya Hengyang Transformer Limited kutoka TBEA
ulioongozwa na Rais wa Kampuni hiyo Bw. Sun Hecheng, wakati ujumbe huo
ulipomtembelea Makamu wa Rais Ofisini kwake Ikulu Dar es salaam Octoba
09,2015. |
No comments:
Post a Comment