Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kucheza ngoma ya asili ya jamii ya Kihadzabe.
Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM
Ndugu Abdulrahman Kinana ukikatisha misitu na mabonde wakati ukielekea
kata ya Mwangeza kijiji cha Kibampa ambako jamii hiyo inaishi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana akisaklimiana na vijana wa kisukuma aliowakuta
wakipalilia shamba, vijana hao walimweleza Kinana kuwa wanahitaji
serikali iwatengenezee barabara yao jambo ambalo litarahisha hata uuzaji
wa mazao yao.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa maji katika kijiji cha Munguli
ambao umejengwa maalum kwa ajili ya jamii hiyo anayetoa maelekezo ni
Mkuu wa wilaya ya Mkalama Ndugu Christopher Ngubiagai.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana akikagua mabweni ya watoto wa jamii ya Kihadzabe
yaliyojengwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Parseko Kone katika kijiji
cha Munguli mabweni hayo yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 60 wa kiume
30 na wakiume 30 yamejengwa maalum kwa ajili ya jamii kulia ni Mkuu wa
wilaya ya Mkalama Ndugu Christopher Ngubiagai.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo ya
Munguli Athman Kinyere akisoma taarifa ya shule hiyo kwa Katibu Mkuu wa
CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
Hii ni moja ya nyumba zinazotumiwa na jamii hiyo ya Kihadzabe.
Baadhi ya wananchi wa jamii hiyo wakiwa katika mkutano
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana akikagua mtambo wa Sola unaoendesha maji katika
mradi wa maji wa kijiji cha Munguli ambao umejengwa maalum kwa ajili ya
jamii hiyo anayetoa
No comments:
Post a Comment