
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Mwenyekiti wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Bharti
Airtel ya India, Bw. Sunil Bhartri Mittal kabla ya mazungumzo yao,
ofisini kwake jijini Dar es salaam, Februari 18, 2016. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Mtendaji Mkuu (CEO) wa Kampuni ya Airtel Africa, Bw.
Christian Defaria (kulia) na Mwenyekiti wa Kampuni ya Simu za Mkononi
ya Bharti Airtel ya India, Bw. Sunil Bhartri Mittal (katikati) kabla
ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam, Februari 18,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



No comments:
Post a Comment