Mbunge wa Jimbo la Kigamboni
(CCM) Dkt Faustine Ndugulile (Mb) (kulia), akizungumza kwenye mkutano wa
masuala ya Usalama wa Afya ulioandaliwa na Shirika la Afya Duniani
(WHO) na kufanyika Jijini Bali, Indonesia.
Alisema kuwaIli mpango wa “Afya
Moja” ufanikiwe in lazima maboresho yafanyike kwenye uratibu wa sekta
mbalimbali ndani ya nchi na pia kuandaa mpango wa pamoja wa udhibiti na
kushughulikia majanga.
Dkt Ndugulile aliyasema hayo
kwenye mkutano wa Mpango wa Usalama wa Afya Duniani unaofanyika mjini
Bali, Indonesia. Mkutano huu ulioanza tarehe 27 Juni unatarajia kuisha
tarehe 30 Juni.
Dkt Ndugulile mbali ya kuwa
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya
Mabunge Duniani (Inter Parliamentary Union) kuhusiana na masuala ya
UKIMWI, Afya ya Wanawake, Vijana na Watoto.
|
June 29, 2016
DKT. NDUGULILE ATAKA MABUNGE KUSHIRIKISHWA KWENYE MPANGO WA “AFYA MOJA” (ONE HEALTH)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment