Meneja
Msimamizi wa masuala ya Usalama
wa Vodacom Tanzania, James Wawenje (kulia) na Ofisa Msimamizi wa bodi
ya michezo ya kubahatisha Tanzania, Jehud Ngola (kushoto),wakimshuhudia
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(katikati)
akiwasilina na Hassan Mfaume Mkazi wa Mwananyamala
jijini Dar es Salaam ambaye aliibuka mshindi wa kitita cha shilingi
Milioni 5/- katika droo ya wiki ya promosheni ya
‘Kamata Mpunga’inayowawezesha wateja wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi 100.Jumla ya washindi 224
wamepatikana tangu kuanza kwa promosheni hiyo.Ili mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno
“GO”kwenda namba 15544 aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa kutuma neno”WIN”kwenda namba
15544 na mteja atapata ujumbe wa kujibu maswali. |
No comments:
Post a Comment