KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 26, 2016

IPTL WAKANUSHA AMRI YA MAHAKAMA YA KUTAKIWA KULIPWA NA TANESCO BILIONI 300..!!!

Kampuni ya kufua umeme ya IPTL imesema haiitambui benki ya Standard Chartered - Hong Kong kama mdai wao wala haina haki ya kupata malipo yoyote kwa niaba yao.Kampuni hiyo inaunga mkono hatua ya Tanesco kukata rufaa katika màhakama ya ICSID kwasababu hukumu iliyotolewa ina mapungufu mengi kisheria.
Mwanasheria wa IPTL, Joseph Makandege amesema watu wasifanye makosa kuilipa benki hiyo Kwa sababu wanataka kutapeli.
"Hii benki ya Standard Chartered haistahili kulipwa fedha yoyote kwa niaba yetu. Hatuwatambui kama wadai wetu, ndiyo maana wanakimbia mahakama za ndani na kwenda nje."

No comments:

Post a Comment