KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 29, 2016

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MTANDAO WA KUPAMBANA NA UNYONYAJI WA KINGONO KWA WATOTO

ise1
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akifafanua jambo kwa vyombo vya habari kuhusu Mkutano wa Mtandao wa Kimataifa wa kuzuia unyonyaji na usafirishaji wa watoto kwa lengo la kuwafanyisha ngono unaoendelea leo jijini Dar es Salaam.
ise2
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga pamoja na baadhi ya Wajumbe wa bodi ya Mtandao wa Kupambana na Usafirishaji na unyonyaji watoto Kingono Duniani wakifuatilia maendeleo ya Mkutano huo leo jijini Dar es Salaam.
ise3
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa Mtandao wa Kupambana na Usafirishaji na unyonyaji watoto Kingono leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment