KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 29, 2016

TBL WASHIRIKI KAMPENI YA MADAWATI

zir1
Waziri Mkuu,Mh.  Kassim Majaliwa watatu (kushoto) akisalimiana na  Afisa Uhusiano wa TBL Group, Editha Mushi, wakati wa harambee ya kuchangia fedha kwa ajili ya ununuzi wa madawati pamoja na  uboreshaji wa shule nchini, iliyoandaliwa na mfuko wa Wakfu wa Hassan Maajar (Hassan Maajar Trust) na kufanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee  jijini Dar es Salaam .Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Bank M,Jacqueline Woisso na Mtendaji Mkuu wa Hassan Maajar Trust, Balozi Bertha Semu.TBL Group ilikuwa mmoja wa wadhamini wa harambee hiyo.
sir3
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Group wakiwa katika picha ya pamoja na  Waziri Mkuu,Mh.  Kassim Majaliwa, watatu (katikati) Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Bank M,Jacqueline Woisso na Mtendaji Mkuu wa Hassan Maajar Trust Balozi Bertha Semu,Meneja rasmali watu wa TBL Group Lilian Makau, Afisa Uhusiano wa TBL Group, Editha Mushi  (wa pili kulia) na Mwenyekiti wa Hassan Maajar Trust,Balozi Mwanaidi Maajar wakati wa harambee ya kuchangia fedha kwa ajili ya ununuzi wa madawati pamoja na  uboreshaji wa shule nchini, iliyoandaliwa na mfuko wa Wakfu wa Hassan Maajar (Hassan Maajar Trust) jijini Dar es Salaam ambapo TBL ilikuwa mmoja wa wadhamini.
zir3
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Group wakisikiliza hutuba ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (hayupo pichani) wakati wa harambee hiyo.

No comments:

Post a Comment