KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 23, 2017

NHIF YAKUTANA NA WADAU NA KUAHIDI UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA MKOANI GEITA

KID1
Mwenyekiti wa Bodi NHIF  na Spika mstaafu wa Bunge mama Anna Makinda akisisitiza juu ya kuboreshwa  huduma katika mfuko wa Bima ya afya wa Taifa. 
KID2
Mkuu wa Mkoa wa Geita,Meja jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akiwa na mwenyekiti wa Bodi ya NIHF wakisikiliza kwa makini taarifa ya Mkoa wa Geita juu ya mfuko wa bima ya afya .
KID3
Mbunge wa Geita Mjini Constatine Kanyasu na Mbunge wa Jimbo la Busanda  Lorencia Bukwimba wakifuatilia mkutano .

No comments:

Post a Comment