Mwenyekiti wa Bodi NHIF na Spika
mstaafu wa Bunge mama Anna Makinda akisisitiza juu ya kuboreshwa huduma
katika mfuko wa Bima ya afya wa Taifa.
Mkuu wa Mkoa wa Geita,Meja jenerali
Mstaafu Ezekiel Kyunga akiwa na mwenyekiti wa Bodi ya NIHF wakisikiliza
kwa makini taarifa ya Mkoa wa Geita juu ya mfuko wa bima ya afya .
Mbunge wa Geita Mjini Constatine Kanyasu na Mbunge wa Jimbo la Busanda Lorencia Bukwimba wakifuatilia mkutano .
No comments:
Post a Comment