Katibu wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Prof. Mohamed Janabi akisoma taarifa ya Taasisi katika kikao cha kwanza cha Bodi hiyo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ambaye pia ni Daktari Bingwa wa upasuaji wa Magonjwa ya Moyo na mishipa ya damu Prof. William Mahalu. |
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Daktari Bingwa wa upasuaji wa Magonjwa ya Moyo na mishipa ya damu Prof. William Mahalu akiongoza kikao cha kwanza cha bodi hiyo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. |
Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia taarifa ya Taasisi
hiyo iliyokuwa ikisomwa na Katibu ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa
JKCI Prof. Mohamed Janabi katika kikao cha kwanza cha Bodi
kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Anna Nkinda – JKCI
|
No comments:
Post a Comment