RAIS DKT MAGUFULI AMPOKEA RAIS NKURUNZIZA WILAYANI NGARA MKOANI KAGERA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe magufuli
akiwa ameambatana na mgeni wake Rais wa Burundi,Pierre Nkurunziza
aliewasili mapema leo katka uwanja wa mpira wa Lemela mjini Ngara,Rais
Dkt Magufuli amempokea Rais Nkurunziza akiwa kwenye ziara yake kikazi
mkoani Kagera.
Aidha Rais
Nkurunziza baada ya kupokelewa na Mwenyeji wake Rais Dkt
Magufuli,alipata wasaa wa kuwasalimia wananchi mbalimbali waliofika
kumpokea katika uwanja huo wa mpira mjini Ngara.
No comments:
Post a Comment