Mkuu wa Mkoa wa Singia Dkt Rehema
Nchimbi akizungumza na Meya wa Manispaa ya Singida Gwae Chima Mbua
kabla ya kuanza kwa baraza Maalumu la madiwani wa Manispaa ya Singida
kujadili hoja za Mkaguzi wa Fedha za Serikali.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida
Bravo Kizito Lyampembile akifungua baraza Maalumu la madiwani wa
Manispaa ya Singida kujadili hoja za Mkaguzi wa Fedha za Serikali.
Baadhi ya Viongozi wa Manispaa ya
Singida wakifuatilia baraza Maalumu la madiwani wa Manispaa ya Singida
kujadili hoja za Mkaguzi wa Fedha za Serikali.
Madiwani wa manispaa ya Singida
wakifuatilia baraza Maalumu la madiwani wa Manispaa ya Singida kujadili
hoja za Mkaguzi wa Fedha za Serikali.
No comments:
Post a Comment