Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Davis Mwamunyange, akimkabidhi Kombe Nahodha wa
timu ya Ndanto Fc, Peter Mwakingwa, baada ya kushika nafasi ya nafasi
ya kwanza na kutwaa kombe la fainali za 'Tulia Cup 2017' kwenye uwanja
wa Tandale Tukuyu Wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya. Fainali hizo
zimedhaminiwa na Kampuni ya Vodacom Tanzania. |
No comments:
Post a Comment