KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 22, 2017

SEKRETARIETI YA CCM CHINI YA KINANA YAFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA VIETNAM MJINI DODOMA


Katibu Mkuu wa CCM abdulrahman Kinana akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Chau Van Lam alipoasili kwa ajili ya mazungumzo na Sekretarieti ya CCM chini ya Kinana, leo katika ukumbi wa Kamati Kuu ya CCM, ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete nje kidogo ya mji wa Dodoma. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-zanzibar Jumanne Mabodi. Katikati ni katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
Kiongozi huyo akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Jumanne Mabodi
Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongzi wa CCM
Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongozi wa CCM
Kiongozi huyo akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka
Kiongozi huyo akimsalimia Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi ya CCM
Kinana akimpeleka mgeni wake eneo la kufanyia mazungumzo
Mazungumzo yakianza
Mazungumzo yakiendelea
Mazungumzo yakiendelea

No comments:

Post a Comment