Katibu
Mkuu wa CCM abdulrahman Kinana akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Chau Van Lam alipoasili kwa ajili ya
mazungumzo na Sekretarieti ya CCM chini ya Kinana, leo katika ukumbi wa
Kamati Kuu ya CCM, ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete nje
kidogo ya mji wa Dodoma. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-zanzibar
Jumanne Mabodi. Katikati ni katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa
Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
Kiongozi huyo akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Jumanne Mabodi
Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongzi wa CCM
Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongozi wa CCM
Kiongozi huyo akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka
Kiongozi huyo akimsalimia Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi ya CCM
Kinana akimpeleka mgeni wake eneo la kufanyia mazungumzo
Mazungumzo yakianza
Mazungumzo yakiendelea
Mazungumzo yakiendelea
No comments:
Post a Comment