Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku
Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi cheti cha pongezi
na shukrani katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam leo
Oktoba 23, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku
Profesa Nehemiah Eliakim Osoro cheti cha pongezi na shukrani katika
hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam leo Oktoba 23, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku
Mwenyekiti wa Kamati ya Kwanza ya Makinikia Profesa Abdulkarim Mruma
cheti cha pongezi na shukrani katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini
Dar es salaam leo Oktoba 23, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku
Mama Fatuma Ndugai ambaye ni Mke wa Spika Mhe. Job Ndugai cheti cha
pongezi na shukrani mwenyekiti wa Kamati Maalumu ya Uchunguzi wa
Makinikia Profesa Osolo katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es
salaam leo Oktoba 23, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana
mikono na Katibu wa Bunge Mhe. Stephen Kagaigai baada ya kumtunuku Spika
Job Ndugai (kupitia kwa mkewe Mama Fatuma Ndugai) cheti cha pongezi na
shukrani mwenyekiti wa Kamati Maalumu ya Uchunguzi wa Makinikia Profesa
Osolo katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam leo Oktoba
23, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku
Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi cheti cha
pongezi na shukrani katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es
salaam leo Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimtunuku Profesa Florens Luoga cheti cha pongezi na shukrani katika
hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam leo Oktoba 23, 2017.
No comments:
Post a Comment