KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 20, 2018

VIGOGO CHADEMA WAITWA POLISI

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe pamoja na viongozi wengine sita wa chama hicho wameitwa na Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum Dar kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu tuhuma zinazowakabili za kufanya maandamano kinyume cha sheria.

Advertisement
==

No comments:

Post a Comment