BAADHI YA WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WATEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA MALAIKA KINONDONI
Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano ya Umma wa Vodacom Tanzania,
Rosalynn Mworia (kulia), akiongoza wafanyakazi wenzie kutoka kampuni
hiyo pamoja na watoto kutoka kituo cha watoto yatima cha Malaika wakati
baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea kituo hicho jijini
Dar es Salaam jana kuwasilisha kwa niaba ya wafanyakazi wenzao michango
yao ya vitu mbalimbali kama nguo, chakula na vitabu.Mtoto
Upendo (kulia) kutoka kituo cha watoto yatima cha Malaika akipokea
sabuni za mche kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano
ya Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kushoto) wakati baadhi ya
wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea kituo hicho jijini Dar es
Salaam jana kuwasilisha kwa niaba ya wafanyakazi wenzao michango yao ya
vitu mbalimbali kama nguo, chakula na vitabu.Mkaguzi
Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dawati la Jinsia Mkoa Kinondoni, Inspekta
Prisca Komba (wanne toka kulia) akizungumza na Mwendeshaji Mkuu wa kituo
cha watoto yatima cha Malaika (wa tatu toka kulia) wakati baadhi ya
wafanyakazi wa Vodacom Tanzania walipotembelea kituo hicho jijini Dar es
Salaam jana kuwasilisha kwa niaba ya wafanyakazi wenzao michango yao ya
vitu mbalimbali kama nguo, chakula na vitabu. Akishuhudia ni Mkuu wa
Kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano ya Umma wa Vodacom Tanzania,
Rosalynn Mworia (wa tano toka kulia).
No comments:
Post a Comment