KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 9, 2017

MAKAMU WA RAIS AKAGUA MABANDA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE TANZANIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani, akisikiliza maelezo ya jinsi silaha inavyohakikiwa kutoka kwa Afisa wa Jeshi la Polisi,   Kitengo cha Udhibiti wa Silaha, Dotto Shilogile, alipotembelea mabanda ya maonesho wakati wa Maadhimisho ya Miaka 10 ya Mtandao wa Polisi Wanawake Tanzania, yaliyofanyika leo katika Viwanja vya Chuo cha Taaluma za Polisi, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani, akisikiliza maelezo ya uendeshaji salama wa vyombo vya moto kutoka kwa Koplo Faustine Nduguru, alipotembelea banda la askari wa usalama barabarani, wakati wa Maadhimisho ya Miaka 10 ya Mtandao wa Polisi Wanawake Tanzania, yaliyofanyika leo katika Viwanja vya Chuo cha Taaluma za Polisi, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments:

Post a Comment