July 22, 2015

KAKORE ATAJA VIPAUMBELE SABA, SAME MAGHARIBI

ka1
Mtangaza nia wa Jimbo la Same Magharibi, Ahadi Kakore akipokea fomu ua kuomba kuwania ubunge Jimbo la Same Magharibi kutoka kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Same, Mussa Matoroka hivi karibuni.
ka2
Ahadi Kakore akisaini kitabu cha wageni cha Shule ya Msingi Masandare muda mfupi baada ya kuwasili kwa ajili ya ziara fupi ili kujionea hali ya shule hiyo ambayo ni moja ya shule kongwe kwa eneo hilo.Kushoto ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Adelina Kiwango.
ka3
Kakore akiwa kwenye picha ya pamoja na walimu wa shule ya Msingi Masandare iliyopo nje kidogo ya mji wa Same. Shule hiyo ipo kwenye eneo la wafugaji.

No comments:

Post a Comment