KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 2, 2015

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI

1
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (Kushoto) na  Kaimu Katibu Mkuu  wa Wizara  ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (kulia) wakiingia kwenye  ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam kwa ajili ya kufungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa wizara ya nishati na madini unaoanza tarehe 01 hadi  tarehe 02, Aprili 2015 wenye lengo la kujadili mafanikio na changamoto  katika utendaji  kazi wa Wizara pamoja na taasisi zake.
3
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi  wa Wizara  ya Nishati na Madini  wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa inatolewa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (hayupo pichani)
4
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi  Ngosi  Mwihava (kulia)  akisoma hotuba ya kumkaribisha  Naibu  Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa kwanza kushoto). Katikati ni Katibu wa TUGHE Wizara ya Nishati na Madini, Assa Mwakilembe              

No comments:

Post a Comment