KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 9, 2017

MANJI ARUDISHWA NDANI YA POLISI BAADA YA KUTAKA KUTOKA

Mfanyabiashara Yusuph Manji leo amefika kituo cha polisi kati kama alivyoahidi jana baada ya kutajwa kwenye orodha ya watu 65 na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.

Yusuph Manji alifika asubuhi kwenye kituo cha Polisi cha kati ambapo baadaye alionekana akiwa anatoka nje ya kituo  kuondoka lakini ghafla akazuiwa na Polisi na kumwambia anahitajika ndani ten.

No comments:

Post a Comment