Rais
mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati akifungua
Maonyesho ya 5 ya Sayansi kwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini
katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Young Scientists Tanzania (YST) Dk. Gosbert Kamugisha
akimtambulisha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kwa Balozi wa Kenya nchini
Tanzania Chirau Ali Mwakwere kabla ya kufungua maonyesho hayo mwishoni
mwa wiki.
No comments:
Post a Comment