KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

August 7, 2015

TGDC YAENDELEA NA KAMPENI YA KUELIMISHA UMMA KUHUSU JOTOARDHI MKOANI MBEYA.

xx4
Mkurugenzi wa masuala ya Ufundi wa TGDC, Bwana Karamaeli Mnjokava.(aliyesimama mbele) akichangia mada kuhusu jotoardhi na manufaa yake kwa wakazi wa Kata ya Swaya hivi karibuni mkoani Mbeya.
xx7
Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Swaya pamoja na baadhi ya Watendaji wa Kampuni ya Uendelezaji Nishati ya Jotoardhi (TGDC) wakifuatilia uwasilishwaji wa mada toka kwa Meneja Mkuu wa TGDC hivi karibuni mkoani Mbeya.

No comments:

Post a Comment