KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

March 21, 2016

PROF.MUHONGO ASEMA MILANGO YA UWEKEZAJI I WAZI

sa1
Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku,( kushoto) akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo( kulia) alipomtembelea ofisini kwake kwa  nia ya kufahamu fusra zaidi ya uwekezaji.
sa2
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo( kushoto) akiwa na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku,( kulia)
sa3
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo( kushoto) akiwa pamoja na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku( kulia ) pamoja na watendaji wa Taasisi zilizochini ya Wizara ya Nishati wakati wa kikao na ujumbe kutoka nchini Afrika Kusini waliotaka kufahamu zaidi fursa za uwekezaji nchini Tanzania.
sa4
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo( kulia) akiwa pamoja na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku( kushoto ) wakijadiliana jambo na wakati wa kikao na watendaji wa Taasisi zilizochini ya Wizara ya Nishati na ujumbe kutoka nchini Afrika Kusini waliotaka kufahamu zaidi fursa za uwekezaji nchini Tanzania.
sa5
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo( kulia) akiwa na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku( katikati) pamoja na Patiwe Makoena Afisa anayeshughulikia masuala ya siasa katika ubalozi wa Afrika Kusini.( kushoto) wakati wa Kikao na Waziri wa Nishati nishati na madini, pamoja na watendaji wa taasisi zilizochini ya wizara hiyo hawapo pichani.

No comments:

Post a Comment