Balozi wa Afrika Kusini nchini
Tanzania, Thami Mseleku,( kushoto) akisaini kitabu cha wageni ofisini
kwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo( kulia)
alipomtembelea ofisini kwake kwa nia ya kufahamu fusra zaidi ya
uwekezaji.
Waziri wa Nishati na Madini
Profesa Sospeter Muhongo( kushoto) akiwa na Balozi wa Afrika Kusini
nchini Tanzania, Thami Mseleku,( kulia)
Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo( kushoto) akiwa pamoja na Balozi wa Afrika
Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku( kulia ) pamoja na watendaji wa
Taasisi zilizochini ya Wizara ya Nishati wakati wa kikao na ujumbe
kutoka nchini Afrika Kusini waliotaka kufahamu zaidi fursa za uwekezaji
nchini Tanzania.
Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo( kulia) akiwa pamoja na Balozi wa Afrika Kusini
nchini Tanzania, Thami Mseleku( kushoto ) wakijadiliana jambo na wakati
wa kikao na watendaji wa Taasisi zilizochini ya Wizara ya Nishati na
ujumbe kutoka nchini Afrika Kusini waliotaka kufahamu zaidi fursa za
uwekezaji nchini Tanzania.
Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo( kulia) akiwa na Balozi wa Afrika Kusini nchini
Tanzania, Thami Mseleku( katikati) pamoja na Patiwe Makoena Afisa
anayeshughulikia masuala ya siasa katika ubalozi wa Afrika Kusini.(
kushoto) wakati wa Kikao na Waziri wa Nishati nishati na madini, pamoja
na watendaji wa taasisi zilizochini ya wizara hiyo hawapo pichani.


No comments:
Post a Comment