KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 25, 2016

KUNDI LA MAKOROKOCHO BINGWA SHINDANO LA DANCE 100%

Wasanii wa kundi la Makorokocho wakipokea   mfano wa hundi  ya  fedha  ya Milioni 7/=  kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu (kushoto), ikiwa ni zawadi ya mshindi wa kwanza wa mashindano yaliyodhaminiwa wa Vodacom Tanzania ya Dance 100% katika  viwanja vya Don Bosco Upanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Makolokocho waliibuka washindi wa Dance 100% kwa mwaka 2016.Kulia ni Meneja wa Uhusiano wa kampuni hiyo, Matina Nkurlu.

Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu (wa pili kulia) akisaidiwa na Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo, Matina Nkurlu, kugawa simu  kwa washindi wa mashindano yaliyodhaminiwa wa Vodacom Tanzania ya Dance 100% katika  viwanja vya Don Bosco Upanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Makolokocho waliibuka washindi wa Dance 100% 2016

Wasanii wa Makolokocho wakishangilia baada ya kuibuka washindi kwenye fainali ya mashindano yaliyodhaminiwa wa Vodacom Tanzania ya Dance 100% katika  viwanja vya Don Bosco Upanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Makolokocho waliibuka washindi wa Dance 100% mwaka 2016.

Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu ( wa pili kulia) akisaidiwa na Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo, Matina Nkurlu, kugawa simu  kwa washindi wa mashindano yaliyodhaminiwa wa Vodacom Tanzania ya Dance 100% katika  viwanja vya Don Bosco Upanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Makolokocho waliibuka washindi wa Dance 100% 2016

No comments:

Post a Comment