Mkuu
wa Mkoa wa Geita,Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akiweka Jiwe la
Msingi kwenye shule Mpya ya Msingi ya Tumaini Iliyopo kwenye Mtaa wa
Nyantorontoro A Kata ya Nyankumbu Wilayani Geita.
 |
Mkuu
wa Mkoa wa Geita,Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akiweka Jiwe la
Msingi kwenye shule Mpya ya Msingi ya Tumaini Iliyopo kwenye Mtaa wa
Nyantorontoro A Kata ya Nyankumbu Wilayani Geita. |
 |
Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Mji wa Geita Mhandisi Modest Aporinal akielezea
miradi iliyozinduliwa kuwa ni Fedha za mapato ya ndani ndio ambayo
imeweza kufanya shughuli za ujenzi wa shule na vituo vya afya. |
 |
Mwenyekiti
wa Halmashauri ya Mji wa Geita,Leornad Kiganga Bugomola,,akizungumzia
juu ya kutatua Kero za Afya,na elimu katika Halmashauri ambayo
anaiongoza ambapo hadi sasa ni shule Moja Ambayo imekwisha zinduliwa
kwaajili ya wanafunzi wa msingi kuanza masomo yao kutokana na umbali
ambao walikuwa wakiupata wa kufuata elimu. |
 |
Mkuu
wa Wilaya ya Geita,Mwl Herman Kapufi akiwasisitiza wananchi kuwa ni
watu wa kujitolea kwenye maendeleo na kuachana na itikadi za kisiasa
ambazo zimekuwa zikirudisha jitihada za maendeleo Nyuma |
No comments:
Post a Comment