]
Moovn Driver Mkurugenzi Mkuu wa
Kampuni hiyo,Godwin Ndugulile akizungumza na waandishi wa habari kwenye
ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo wakati akizungumzia kampuni yake
ya Moovn Driver kuhusu huduma ya usafiri kutumia Aplikesheni
waliyoibuni.
Moovn Driver Mkurugenzi Mkuu wa
Kampuni hiyo,Godwin Ndugulile akionysha jinsi aplikesheni ya Moovn
Driver inavyofanya kazi mbele ya waandishi wa habari.
No comments:
Post a Comment