KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 10, 2018

MAKUSANYO YA KODI TRA YAONGEZEKA, TRLIONI 11.78 ZAKUSANYWA KWA MIEZI 9

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imekusanya Tsh. 11.78 Trilioni katika kipindi cha miezi tisa ya mwaka wa fedha 2017/18 kuanzia Julai 2017 hadi Machi 2018, ikilinganishwa na Tsh. 10.86 Trilioni ambazo zilikusanywa katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/17, ambacho ni sawa na ukuaji wa 8.46%.

No comments:

Post a Comment