Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo alipowasili
kuzindua kituo maalumu ya Jeshi la Polisi cha Utalii na Diplomasia
jijini Arusha ambacho kimejengwa na wadau wa utalii kwenye sherehe
zilizofanyika jana Aprili 7, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mbuneg wa Viti Maalum Arusha Mhe. Catherine Magige
alipowasili kuzindua kituo maalumu ya Jeshi la Polisi cha Utalii na
Diplomasia jijini Arusha ambacho kimejengwa na wadau wa utalii kwenye
sherehe zilizofanyika jana Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata
maelezo ya ujenzi wa kituo maalumu ya Jeshi la Polisi cha Utalii na
Diplomasia jijini Arusha ambacho kimejengwa na wadau wa utalii kwenye
sherehe zilizofanyika jana
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata
maelezo ya ujenzi wa kituo maalumu ya Jeshi la Polisi cha Utalii na
Diplomasia jijini Arusha ambacho kimejengwa na wadau wa utalii kwenye
sherehe zilizofanyika jana
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi
wengine wakiwa katika picha ya pamoja na wadau waliosaidia ujenzi wa
kituo maalumu cha Jeshi la Polisi cha Utalii na Diplomasia jijini
Arusha kwenye sherehe zilizofanyika jana
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
mmoja wa wadau waliosaidia ujenzi wa kituo maalumu cha Jeshi la Polisi
cha Utalii na Diplomasia jijini Arusha kwenye sherehe zilizofanyika jana
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata
utepe akiwa na viongozi wengine pamoja na wadau waliosaidia ujenzi wa
kituo maalumu cha Jeshi la Polisi cha Utalii na Diplomasia jijini
Arusha kwenye sherehe zilizofanyika jana
Msanii
Maringo wa Maringo akiwa tayari kutumbuiza wakati Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wa hafla ya uzinduzi wa
kituo maalumu cha Jeshi la Polisi cha Utalii na Diplomasia jijini
Arusha kwenye sherehe zilizofanyika jana
Sehemu
ya nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya
baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha jana
Sehemu
ya nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya
baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha jana
Wana
bendi ya Jeshi la Polisi kikiwa tayari kufanya kazi wakati wa sherehe
za uzinduzi wa nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura
zilizojengwa upya baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe
zilizofanyika jijini Arusha jana
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Mkuu
wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP
Simon Sirro wakifunua pazia kuashiria kufunguliwa rasmi kwa nyumba za
makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya kuteketea
kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jana
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakipeana
mikono na IGP Simon Sirro baada ya kuzindua rasmi kwa nyumba za makazi
ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya kuteketea kwa
moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha jana
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana
mikono na RPC wa Arsuah Charles Mkumbo baada ya kuzindua rasmi kwa
nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya
kuteketea kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha jana
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaidiwa
na viongozi wengine akikata utepe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa
nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya
kuteketea kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha jana
No comments:
Post a Comment