Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi chini Mhe. Davis Mwamunyange (kushoto), akizungumza na Mhe. Ali Rashid Ahmed Lootah (kulia), mara baada ya kuwasili ofisini kwake. Mhe. Lootah katika ziara yake anaangalia fursa za uwekezaji wa Uchumi, Ujenzi wa Nyumba na Makazi |
Kulia ni Balozi Mdogo Omary Mjenga, akizungumza jambo huku Mhe. Davis Mwamunyange (wakwanza kushoto), na Mhe. Lootah (katikati), wakimsikiliza wakielekea nje baada ya kumaliza mazungumzo |
Picha ya pamoja. |
No comments:
Post a Comment