Mwanajeshi mmoja ameuawa na wengine
kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa katika
tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi,ambapo mji huo mkuu upo chini ya
ulinzi mkali wa Polisi na wanajeshi.
Kufuatia tukio hilo waziri
mkuu wa nchi hiyo Stephen Harper amehutubia Taifa hilo na kutaka
wananchi watulie huku akisisitiza kuwa Canada haitowaachia magaidi
watambe.
Shambulio limekuja saa kadhaa baada ya Canada kukemea vikali vitendo vya kigaidi.siku ya jumatatu.
Vyombo
vya usalama nchini humo vimethibitisha kuwa mshambuliaji mmoja ameuawa
na ametambuliwa kwa jina la Michael Zehaf-Bibeau. Kufuatia tukio hilo
waziri mkuu wa nchi hiyo Stephen Harper amehutubia Taifa hilo na kutaka
wananchi watulie huku akisisitiza kuwa Canada haitowaachia magaidi
watambe.
Shambulio limekuja saa kadhaa baada ya Canada kukemea
vikali vitendo vya kigaidi.siku ya jumatatu mwanajeshi mwingine aliuawa
katika shambulio la kushtukiza .
No comments:
Post a Comment