Wananchi
na WanaCCM waliofirika katika viwanja vyaDemokrasia Kibanda maiti Mjini
Unguja wakiwa katika Mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti CCM
Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein leo ambao umeweka bayana na kufanya
uchambuzi baadhi ya vifungu vya katiba iliyopendekezwa na Bunge Maalum
la Katiba.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na Mke wa Makamo wa Pili
wa Rais Mama Pili Balozi wakiwa katika Mkutano wa Hadhara katika Viwanja
vya Demokrasia Kibanda maiti Mjini Unguja leo uliohutubiwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyeekiti CCM
Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein .



No comments:
Post a Comment