KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 26, 2014

MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL AKUTANA NA WASANII MLIMANI CITY


  Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Mohammed Gharib Bilal, akiweka saini katika kitabu cha wageni, (kulia) ni  Naibu waziri wa Wizara ya  Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo , Juma Nkamia.
 Msanii Aisha Mashauzi akitoa burudani katika Maadhimisho hayo.
 Baadhi ya wadau wa sanaa
 Wanahabari wa katika eneo ya kila mmoja apate anacho kihitaji katika maadhimisho hayo.
 Baadhi ya wadau wakifatilia kwa makini mtanange huo.
   Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Mohammed Gharib Bilal, (katikati)  akimkabidhi Tuzo, Katibu wa chama cha Ushirika Tingatinga , Rashid Munyana, Dar es Salaam jana katika Ukumbi wa Mlimani City, (kulia) na kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara ya  Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo , Juma Nkamia.
 Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Mohammed Gharib Bilal(katikati)  akimkabidhi Tuzo, Katibu wa chama cha Ushirika Tingatinga,   Rashid Munyana, Dar es Salaam jana katika Ukumbi wa Mlimani City, (kulia) na kushoto ni Naibu waziri wa Wizara ya  Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo , Juma Nkamia.
 Katibu wa chama cha Ushirika Tingatinga,   Rashid Munyana (kushoto), akibusu Tuzo hiyo baada ya Kutunukiwa tuzo hiyo na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Mohammed Gharib Bilal Daes Salaam jana katika Maadhimisho ya siku ya Wasanii Duniani iliyo fanyika katika ukumbi wa Milmani City jana (kulia) ni mgeni rasmi  Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Mohammed Gharib Bilal.
   Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Mohammed Gharib Bilal, (kulia)  akimkabidhi Tuzo , Ofisa Habari Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Agnes Kimwaga,(kushoto)

No comments:

Post a Comment