Mkuu
wa Mkoa Mjini Mgharibi, Maalim Abdalla Mwinyi Khamis, ambae alikuwa
Mwenyekiti wa mkutano wa Mpango wa kuandaa ramani ya Mji wa Zanzibar
akizungumza na washiriki wa mkutano huo.
Baadhi ya washiriki wa mkutano uliojadili mpango wa kuandaa Ramani ya
Mji wa Zanzibar, wakifuatilia maelezo yaliyotolewa kwenye mkutano huo
katika Hoteli ya Marumaru.
No comments:
Post a Comment