Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mhandisi Mussa Natty (kushoto)
akizungumza na Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu wakati wa
ziara ya kujifunza masuala ya usimamizi wa taka zinazozalishwa katika
halmashauri hiyo.Kulia ni wataalamu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais na watendaji
wa halmashauri hiyo.
Naibu Waziri
wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu, akizungumza na watendaji wa kata za
manispaa ya Kinondoni(hawapo pichani) wakati wa ziara hiyo.Kulia ni Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mhandisi Mussa Natty.
No comments:
Post a Comment