| Bondia Hassan Mandula kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Mohamed Jaka, Mandula alishinda kwa TKO ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG |
| Bondia Hamza Mchanjo kushoto akipambana na Juma Fundi wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Frends Corner Manzese, Fundi alishinda kwa pointi mpambano huo wa raundi sita. |
| Bondia Said Mbelwa akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wa mpambano huo. |
| Bondia Georger Dimoso kushoto akipambana na Said Mbelwa wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamoso iliyopita Mbelwa alishinda kwa pointi mpambano huo wa raundi nane. |


No comments:
Post a Comment