KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 26, 2014

HAYAWI HAYAWI MUAMALA WA ESCROW WAWEKWA WAZI, VIGOGO WALIOGAWANA FEDHA KWA MAGUNIA,RAMBO NA LUMBESA WATAJWA

Hatimaye mbivu na mbichi leo zimejulikana baada ya vigogo walioshiriki kugawana fedha za Escrow kupitia Benki ya Mkombozi kutaja Bungeni leo, waliotajwa kulamba ngawila hizo ni Andrew Chenge bilioni 1.6 Profesa Muhongo ambaye ni Waziri wa Nishati na Madini 1.6 bilioni, Profesa Anna Tibaijuka bilioni 1.6 na Askofu Method Kilani milioni 80 na Mchungaji mmoja milioni 40.   

 Mbunge wa Sengerema naye alinyaka milioni 40. Kamati hiyo imependekeza pia Waziri Mkuu ajiuzuru na pia Bodi ya Tanesco ivunjwe na ichukuliwe hatua za kisheria. Wengine ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini naye awajibishwe. Kamati ya Zitto pia imemlaumu Waziri Mkuu kipekee kwa kulipotosha bunge na umma kwa ujumla kwamba dili hilo lilikuwa  halali.

Kesho Serikali itapewa muda wa kujibu hoja hilo kabla ya wabunge hawajanza kuchangia.

No comments:

Post a Comment