Vijana
wa CCM wilaya ya Masasi wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman
Kinana alipowasili Nanganga wilaya ya Masasi mkoani Mtwara ikiwa siku
yake ya kwanza ya ziara ya mkoa wa Mtwara baada ya kumaliza siku 8 za
ziara mkoani Lindi.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi wa CCM
wilaya ya Masasi mara baada ya kuwasili mkoani humo ambapo anatarajiwa
kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010.
Mkurugenzi
Mtendaji wa kiwanda cha kubangua korosho cha Perfect Cashew Kernels
Kate Kamba akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
kwenye kiwanda chake cha kubangua korosho kilichopo Masasi mkoani
Mtwara.
No comments:
Post a Comment