KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 24, 2014

MAMBO YA COMRADE KINANA MTWARA

 Vijana wa CCM wilaya ya Masasi wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipowasili Nanganga wilaya ya Masasi mkoani Mtwara ikiwa siku yake ya kwanza ya ziara ya mkoa wa Mtwara baada ya kumaliza siku 8 za ziara mkoani Lindi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi wa CCM wilaya ya Masasi mara baada ya kuwasili mkoani humo ambapo anatarajiwa kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010.
Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha kubangua korosho cha Perfect Cashew Kernels Kate Kamba akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  kwenye kiwanda chake cha kubangua korosho kilichopo Masasi mkoani Mtwara.

No comments:

Post a Comment