Mwimbaji wa muziki wa Injili, Frola Nkone akiimba kutumbuiza wakati wa mkutano huo
Mwanamuziki wa muizki wa Injili, Rose Mhando akiimba kutumbuiza wananchi katika mkutano huo wa Nyalandu
Steve
Nyerere ambaye ni Msanii na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM,
akizungumza kabla ya kumwaga vimbwanga vyake vya kuingiza sauti za
viongozi mbalimbali wakati wa mkutano huo wa Nyalandu.
No comments:
Post a Comment