Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Ushirika wa
Akiba na Mikopo cha Hazina wakifuatilia hotuba ya Mgeni Rasmi Waziri wa
Fedha Saada Mkuya Salum wakati wa kufungua mkutano mkuu wa mwaka wa
chama hicho uliofanyika viwanja vya Makumbusho ya Taifa mwishoni mwa
wiki (Disemba 20-21) jijini Dar es salaam.
Mgeni Rasmi Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akiwa katika picha ya
pamoja na wajumbe wa Bodi ya Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha
Hazina mara baada ya kufungua mkutano mkuu wa mwaka wa chama hicho
uliofanyika viwanja vya Makumbusho ya Taifa mwishoni mwa wiki (Disemba
20-21) jijini Dar es salaam.
Mgeni Rasmi Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya wanachama wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo
cha Hazina waliokabidhiwa hati zao za viwanja mara baada ya kufungua
mkutano mkuu wa mwaka wa chama hicho uliofanyika viwanja vya Makumbusho
ya Taifa mwishoni mwa wiki (Disemba 20-21) jijini Dar es salaam. Mkutano
huo unaongozwa na kauli mbiu isemayo “Viwanja Rasmi Suluhisho la Makazi
Bora”.
(Picha zote na Eleuteri Mangi).
No comments:
Post a Comment