Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wanne Kushoto) akifuatilia kwa
umakini mazungumzo kwa njia ya mtandao na watu wa Kenya, alipotembelea
ofisi ya Wakala wa Mafunzo kwa njia ya mtandao (TaGLa),leo jijini Dar es
Salaam. Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wanne Kulia) akitoa neno la
shukrani kwa watu wa Kenya baada ya mazungumzo kwa njia ya mtandao ,
alipotembelea ofisi ya Wakala wa Mafunzo kwa njia ya Mtandao (TaGLa),leo
jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni Mkuu wa Chuo cha IFM Pro. Daniel
Mjema, wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma, Bwana George Yembesi na Mkurugenzi Mtendaji wa TaGLA,
Bwana Charles Senkondo. Wajumbe
wa bodi ya Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao(TaGLa) wakifuatilia
mazungunzo kwa njia ya mtandao na watu wa Kenya, Mafunzo kwa njia ya
mtandao (TaGLa),leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa tatu kushoto)
No comments:
Post a Comment